.

.

02 Agosti 2016

DC ILALA,SOPHIA MJEMA AZINDUA UWANJA WA NETIBOLI NA KIKAPU SHULE YA JANGWANI JIJINI DAR LEO

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema akifunga goli wakati wa uzinduzi wa uwanja wa Netiboli na Mpira wa Kikapu wa Shule ya Sekondari ya Jangwani uliojengwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Kidoti, Jokate Mwegelo kupitia kampeni yake ya "Be Kidotified".  Mjema alizindua uwanja huo leo katika hafla fupi iliyofanyika katika shule hiy.Kushoto ni Jokate akishuhudia tukio hilo.PICHA NA MICHUZI JR

16 Julai 2016

MAANA YA PAROLE


Parole ni utaratibu wa kisheria unaompa fursa mfungwa aliyehukumiwa kutumikia kifungo gerezani cha miaka minne na kuendelea kutumikia sehemu ya kifungo chake katika jamii kwa masharti maalum baada ya kukidhi vigezo na matakwa ya sheria ya Parole Na. 25/1994. Sambamba na kanuni za Bodi za Parole zilizoandaliwa na kutangazwa kwenye gazeti la Serikali tarehe 29 Agosti, 1997 (GN. 563/1997)(magereza.go.tz/…/vite…/legal-prisons-affairs/parole-services) hivyo kuwezesha Sheria hiyo kuanza kutumika rasmi.

MISINGI 6 ILIYO SIRI YA WATU WENYE MAFANIKIO YA KUDUMU.

Ili uweze kufanikiwa, ni lazima kujiwekea misingi imara ya kimafanikio itakayokuwa ikukuongoza kila siku. Bila kuijua misingi hii mapema sitashangaa kuona maisha yako yakibaki kuwa yaleyale bila ya kubadilika sana. Kwa kujiwekea misingi hii, inauwezo wa kufanya maisha yako kubadilika kwa sehemu kubwa sana.

MAGUFULI AMTEUA AUGUSTINO MREMA BODI YA PAROLE



MKUU WA MKOA WA MBEYA AKABIDHI POWER TILLER 102 ZILIZOTOLEWA NA MBUNGE WA MBARALI MHE HAROUN MULLA KWA AJILI YA VIJIJI NA MITAA 102.


Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amosi Makala (aliyekalia Power Tiller) akipokea msaada huo kutoka kwa Mbunge wa Mbarali Mh Haroun Mulla (kushoto) pamoja na Mwenyekiti wa Halmashauri Bw Francis Mtega na Mkuu wa Wilaya RubenMfune(wa kwanza kulia)

MWENYEKITI UVCCM MBEYA AGUSWA NA MAISHA YA KIJANA EMANUEL FEDRICK ALIYEFUNGIWA NDANI MIAKA11


Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa Mbeya Amani Kajuna akiwa amebeba kiti maalumu(Wheelchair) chenye thamani ya laki tatu na nusu (350,000) kwa ajili kumpatia msaada kijana Emanuel Fedrick (20) Mkazi wa Mwambenja jijini Mbeya ,ambaye aligundulika akiwa amefungiwa ndani na wazazi wake kwa kipindi cha miaka 11 mara baada ya kuzaliwa akiwa na tatizo la ulemavu wa akili na viungo.

14 Julai 2016

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA KIWANDA CHA KUTENGENEZA VIGAE CHA GOODWILL CERAMIC CHA MKURANGA.


SeeBait
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itahakikisha viwanda vinajengwa kwa wingi nchini kwani ndiyo msingi imara wa ukuaji wa uchumi na muarobaini wa tatizo la ajira hususan kwa vijana.