.

.

08 Mei 2015

MAFURIKO YAATHIRI DARAJA LA KIKULETWA WILAYANI HAI

Mvua zinazoendelea kunyesha zimesababisha mafuriko yaliyong'oa miti na kuharibu kingo za daraja la Kikuletwa wilayani Hai.

Mti mkubwa ulizolewa na maji na kisha kugota katika daraja la Kikuletwa.
Baadhi ya wakazi wa Kitongoji cha Kikuletwa wakivuka katika daraja hilo.
Baadhi ya vijana wakiangalia namna ambayo wataweza kuondoa miti hiyo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni