.

.

10 Februari 2016

MCHEZO WA FA CITY IMEISHINDA WENDA FC KA PENATI 5-4 BAADA YA DAKIKA 90 KUMALIZIKA KWA SARE YA 0-0



Michuano ya kombe la shirikisho la soka nchini imeendelea leo kwenye uwanja wa sokoine jijini Mbeya kwakuzikutanisha timu ya Mbeya City Dhidi ya Wenda Fc na kushuhudiwa timu hizo zikimaliza dakika tisini kwa kutofungana

Baada ya matokeo hayo sheria ya mikwaju ya penati ikachukua nafasi yake ambapo Mbeya City ikafanikiwa kwa kuibuka na ushindi wa penati 4 kwa tatu



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni