Msemaji Mkuu wa rais wa Sudan Kusini Ateny Wek Ateny, amezungumza kuwa ni vigumu kubadilisha uwamuzi wa kumfukuza nchi Toby Lanzer. Na kuongeza kuwa baraza la mawaziri lilitoa uwamuzi huo, baada ya kutathmini maoni ya mara kwa mara ya mjumbe huyo dhidi ya serikali.
.
03 Juni 2015
SUDAN KUSINI YAMTIMUA MJUMBE WA UMOJA WA MATAIFA.
Msemaji Mkuu wa rais wa Sudan Kusini Ateny Wek Ateny, amezungumza kuwa ni vigumu kubadilisha uwamuzi wa kumfukuza nchi Toby Lanzer. Na kuongeza kuwa baraza la mawaziri lilitoa uwamuzi huo, baada ya kutathmini maoni ya mara kwa mara ya mjumbe huyo dhidi ya serikali.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni