CHAMBUZI NEWS
.
04 Juni 2015
UCHAGUZI WAAHIRISHWA BURUNDI
Tume ya Uchaguzi nchini Burundi, imetangaza kuahirishwa uchaguzi wa madiwani na bunge, ikiitikia wito wa Viongozi wa kiafrika, baada ya zaidi ya mwezi mmoja wa maandamano dhidi ya mpango wa rais Pierre Nkurunziza kugomea mhula wa tatu.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Nyumbani
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni