.

.

08 Juni 2016

NAIBU SPIKA AAGIZA WABUNGE WATAKAOKUWA WANASUIA BUNGE KUTOKULIPWA POSHO


utokana na wabunge wengi waCCM kulalamika na kuomba mwongozo wa spika juu ya wabunge wanaotoka nje baaada ya kujisajili, naibu spika amelipitia suala hilo na hatimaye kuja na hitimisho kuwa wabunge hao hawatapokea posho zao kwa kipindi chote ambacho hawakuhudhuria
vikao.

Amesema uamuzi huu ameufikia baada ya kupitia maamuzi mbalimbali yaliyotolewa na bunge juu ya wabunge ambao walikuwa wanaondoka bila kuchangia mjadala ambapo tarehe 08/04/2008 wabunge wa chama cha CUF walitoka bungeni na kususia shughuli zilizokuwa zimepangwa na kiti kilitoa uamuzi wa kutowalipa posho kwa siku zote watakazokuwa nje

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni