utokana na wabunge wengi waCCM kulalamika na kuomba mwongozo wa spika juu
ya wabunge wanaotoka nje baaada ya kujisajili, naibu spika amelipitia suala
hilo na hatimaye kuja na hitimisho kuwa wabunge hao hawatapokea posho zao kwa
kipindi chote ambacho hawakuhudhuria
vikao.
Amesema uamuzi huu ameufikia baada ya kupitia maamuzi mbalimbali yaliyotolewa na bunge juu ya wabunge ambao walikuwa wanaondoka bila kuchangia mjadala ambapo tarehe 08/04/2008 wabunge wa chama cha CUF walitoka bungeni na kususia shughuli zilizokuwa zimepangwa na kiti kilitoa uamuzi wa kutowalipa posho kwa siku zote watakazokuwa nje
vikao.
Amesema uamuzi huu ameufikia baada ya kupitia maamuzi mbalimbali yaliyotolewa na bunge juu ya wabunge ambao walikuwa wanaondoka bila kuchangia mjadala ambapo tarehe 08/04/2008 wabunge wa chama cha CUF walitoka bungeni na kususia shughuli zilizokuwa zimepangwa na kiti kilitoa uamuzi wa kutowalipa posho kwa siku zote watakazokuwa nje
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni