.
14 Julai 2016
WAZIRI WA UCHUKUZI ATEMBELEA VIWANJA VYA NDEGE JIJINI DAR ES SALAAM
kuhudumia mizigo, Ndege na abiria ya Swissport inayotoa huduma katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), alipofanya ziara ya siku moja ya kutembelea uwanja huo Dar es Salaam leo.
12 Julai 2016
SERIKALI YAAGIZA MAAFISA HABARI KUANZA KUSHIRIKISHWA KATIKA VIKAO VYA MAAMUZI.
Serikali imeagiza Maafisa Habari,Utamaduni ,Sanaa na Michezo Mikoani kuanza kushirikishwa katika vikao vya maamuzi ili wapate kujua mikakati ya maendeleo kwa sekta zao.
Agizo hilo limetolewa na Mheshimiwa Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni Sanaa na Michezo Annastazia Wambura alipokuwa katika ziara ya kikazi Jijini Tanga kwa ambapo lengo la ziara hiyo ilikuwa ni kufuatilia utekelezaji wa shughuli za kisekta kwa Wizara yake katika Mkoa huo.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)

