.

.

29 Machi 2016

HAYA NDIO MABADILIKO YA MTANDAO WA INSTRAGRAM



Najua nina watu wangu ambao ni watumiaji wazuri sana wa mitandao ukiwemo mtandao wa instagram ambao umekuwa ukitumiwa na  watu mbalimbali kama mtandao wa kupost picha au video ya kitu fulani.
Sasa good news niliyoipata muda huu ni kwamba moja kati ya kitu kilichoboreshwa kwenye mtandao huo ni kwenye upande wa video ambapo kwa mara ya kwanza mtumiaji alikuwa akipost video yenye sekunde 15 lakini leo maboresho yaliyofanywa makubwa ni kwamba mtumiaji wa mtandao huo atakuwa anaweza kupost video yenye dakika moja tu badala ya sekunde 15.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni