%2B(800x533).jpg)
Mvua zinazoendelea kunyesha zimesababisha mafuriko yaliyong'oa miti na kuharibu kingo za daraja la Kikuletwa wilayani Hai.
%2B(800x533).jpg)
Mti mkubwa ulizolewa na maji na kisha kugota katika daraja la Kikuletwa.
%2B(800x533).jpg)
Baadhi ya wakazi wa Kitongoji cha Kikuletwa wakivuka katika daraja hilo.
%2B(800x533).jpg)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni