.

.

27 Juni 2015

ARSENAL WAMEKAMILISHA DILI LA PETR CECH


Petr Cech anajiandaa kuchukua vipimo vya afya katika klabu ya Arsenal baada ya washika bunduki wa London kukamilisha usajili wake kwa dau la paundi milioni 11, ingawa hakuna klabu iliyothibitisha rasmi.
Golikipa huyo mkongwe amemalizana na Arsenal na sasa anakamilisha taratibu kadhaa, kabla ya kutangazwa rasmi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni