.

.

14 Septemba 2015

UZEMBE WA SERIKALI YA SAUDI ARABIA ULIOSABABISHA VIFO MAKKA

Mbeyafm Redio's photo.Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu amesema uzembe uliofanywa na serikali ya Saudi Arabia ndio uliosababisha tukio la maafa yaliyotokea katika mji mtukufu wa Makka. Katika ujumbe maalumu aliotoa jana Ali Larijani, mbali na kutoa salamu za rambirambi kwa Waislamu kufuatia tukio la kusikitisha la Makka alitoa mkono wa pole pia kwa familia za wafanyaziara waliopoteza maisha na kueleza kwamba serikali ya Saudia ilipaswa ichukue hatua za lazima kuhakikisha usalama wa mahujaji, lakini uzembe iliofanya umesababisha kutokea tukio hilo. Spika wa bunge la Iran ameeleza katika ujumbe wake huo kwamba maafa hayo ya kusikitisha yamezitonesha na kuziungulisha nyoyo za umma wa Kiislamu na kuichanganya Hijja ya Kiibrahim na simanzi na majonzi na kwamba kuna udharura wa kufanyika uchunguzi unaohitajika juu ya tukio hilo. Watu wasiopungua 107 walifariki dunia na wengine wasiopungua 238 walijeruhiwa siku ya Ijumaa baada ya winchi kuangukia msikiti mtukufu wa Makka. Wafanyaziara watano kutoka Iran ni miongoni mwa waliofariki dunia katika tukio hilo
pika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu amesema uzembe uliofanywa na serikali ya Saudi Arabia ndio uliosababisha tukio la maafa yaliyotokea katika mji mtukufu wa Makka. 
Katika ujumbe maalumu aliotoa jana Ali Larijani, mbali na kutoa salamu za rambirambi kwa Waislamu kufuatia tukio la kusikitisha la Makka alitoa mkono wa pole pia kwa familia za wafanyaziara waliopoteza maisha na kueleza kwamba serikali ya Saudia ilipaswa ichukue hatua za lazima kuhakikisha usalama wa mahujaji, lakini uzembe iliofanya umesababisha kutokea tukio hilo. 
Spika wa bunge la Iran ameeleza katika ujumbe wake huo kwamba maafa hayo ya kusikitisha yamezitonesha na kuziungulisha nyoyo za umma wa Kiislamu na kuichanganya Hijja ya Kiibrahim na simanzi na majonzi na kwamba kuna udharura wa kufanyika uchunguzi unaohitajika juu ya tukio hilo. 
Watu wasiopungua 107 walifariki dunia na wengine wasiopungua 238 walijeruhiwa siku ya Ijumaa baada ya winchi kuangukia msikiti mtukufu wa Makka. Wafanyaziara watano kutoka Iran ni miongoni mwa waliofariki dunia katika tukio hilo.
- See more at: http://www.fichuotz.com/2015/09/uzembe-wa-serikali-ya-saudi-arabia.html#sthash.6nWzTRtD.dpuf
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu amesema uzembe uliofanywa na serikali ya Saudi Arabia ndio uliosababisha tukio la maafa yaliyotokea katika mji mtukufu wa Makka. 
Katika ujumbe maalumu aliotoa jana Ali Larijani, mbali na kutoa salamu za rambirambi kwa Waislamu kufuatia tukio la kusikitisha la Makka alitoa mkono wa pole pia kwa familia za wafanyaziara waliopoteza maisha na kueleza kwamba serikali ya Saudia ilipaswa ichukue hatua za lazima kuhakikisha usalama wa mahujaji, lakini uzembe iliofanya umesababisha kutokea tukio hilo. 
Spika wa bunge la Iran ameeleza katika ujumbe wake huo kwamba maafa hayo ya kusikitisha yamezitonesha na kuziungulisha nyoyo za umma wa Kiislamu na kuichanganya Hijja ya Kiibrahim na simanzi na majonzi na kwamba kuna udharura wa kufanyika uchunguzi unaohitajika juu ya tukio hilo. 
Watu wasiopungua 107 walifariki dunia na wengine wasiopungua 238 walijeruhiwa siku ya Ijumaa baada ya winchi kuangukia msikiti mtukufu wa Makka. Wafanyaziara watano kutoka Iran ni miongoni mwa waliofariki dunia katika tukio hilo.
- See more at: http://www.fichuotz.com/2015/09/uzembe-wa-serikali-ya-saudi-arabia.html#sthash.6nWzTRtD.dpuf
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu amesema uzembe uliofanywa na serikali ya Saudi Arabia ndio uliosababisha tukio la maafa yaliyotokea katika mji mtukufu wa Makka. 
Katika ujumbe maalumu aliotoa jana Ali Larijani, mbali na kutoa salamu za rambirambi kwa Waislamu kufuatia tukio la kusikitisha la Makka alitoa mkono wa pole pia kwa familia za wafanyaziara waliopoteza maisha na kueleza kwamba serikali ya Saudia ilipaswa ichukue hatua za lazima kuhakikisha usalama wa mahujaji, lakini uzembe iliofanya umesababisha kutokea tukio hilo. 
Spika wa bunge la Iran ameeleza katika ujumbe wake huo kwamba maafa hayo ya kusikitisha yamezitonesha na kuziungulisha nyoyo za umma wa Kiislamu na kuichanganya Hijja ya Kiibrahim na simanzi na majonzi na kwamba kuna udharura wa kufanyika uchunguzi unaohitajika juu ya tukio hilo. 
Watu wasiopungua 107 walifariki dunia na wengine wasiopungua 238 walijeruhiwa siku ya Ijumaa baada ya winchi kuangukia msikiti mtukufu wa Makka. Wafanyaziara watano kutoka Iran ni miongoni mwa waliofariki dunia katika tukio hilo.
- See more at: http://www.fichuotz.com/2015/09/uzembe-wa-serikali-ya-saudi-arabia.html#sthash.6nWzTRtD.dpuf

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni