.

.

16 Julai 2016

MAGUFULI AMTEUA AUGUSTINO MREMA BODI YA PAROLE




6
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa mamlaka aliyopewa amefanya uteuzi wa viongozi na watendaji wa taasisi mbalimbali za Serikali, na pia amewapandisha vyeo maafisa wa Jeshi la Polisi Tanzania.
Uteuzi huo ni kama ifuatavyo;
Mhe. Augustino Lyatonga Mrema.
Ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Parole kwa kipindi cha miaka mitatu, kuanzia leo tarehe 16 Julai, 2016.
Mhe. Augustino Lyatonga Mrema anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Jaji Mstaafu Mhe. Eusebia Nicholaus Munuo ambaye muda wake umemalizika.
Prof. William R. Mahalu
Ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete. Uteuzi huu umeanza leo tarehe 16 Julai, 2016.
Prof. Mohamed Janabi
Ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete. Uteuzi huu umeanza tarehe 15 Julai, 2016.
Prof. Angelo Mtitu Mapunda
Ameteuliwa kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Mahakama kwa kipindi cha miaka mitatu. Uteuzi huu umeanza tarehe 15 Julai, 2016.
Bi. Sengiro Mulebya
Ameteuliwa kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Mahakama kwa kipindi cha miaka mitatu. Uteuzi huu umeanza tarehe 15 Julai, 2016.
Bw. Oliva Joseph Mhaiki
Ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC). Uteuzi huu umeanza tarehe 15 Julai, 2016.
Mwl. Winifrida Gaspar Rutaindurwa
Ameteuliwa kuwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC). Uteuzi huu umeanza tarehe 15 Julai, 2016.
Dkt. Charles Rukiko Majinge
Ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya Hospitali ya Taifa Muhimbili. Uteuzi huu umeanza leo tarehe 16 Julai, 2016.
Dkt. Julius David Mwaiselage
Ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taasisi ya Saratani ya Ocean Road. Uteuzi huu umeanza tarehe 15 Julai, 2016.
Kupandishwa Vyeo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewapandisha vyeo maafisa 25 wa Jeshi la Polisi kutoka cheo cha Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) na kuwa Naibu Kamishna wa Polisi (DCP).
Waliopandishwa vyeo hivyo ni kama ifuatavyo;
Essaka Ndege Mugasa
Adamson Afwilile Mponi
Charles Ndalahwa Julius Kenyela
Richard Malika Revocatus
Geofrey Yesaya Kamwela
Lucas John Mkondya
John Mondoka Gudaba
Matanga Renatus Mbushi
Frasser Rweyemamu Kashai
Ferdinand Elias Mtui
Germanus Yotham Muhume
Fulgence Clemence Ngonyani
Modestus Gasper Lyimo
Mboje John Shadrack Kanga
Gabriel G.A. Njau
Ahmed Zahor Msangi
Anthony Jonas Rutashubulugukwa
Dhahir Athuman Kidavashari
Ndalo Nicholus Shihango
Shaaban Mrai Hiki
Simon Thomas Chillery
Leonard Lwabuzara Paul
Ahmada Abdalla Khamis
Aziz Juma Mohamed
Juma Yussuf Ally
Aidha, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewapandisha vyeo maafisa wa Jeshi la Polisi wengine 34 kutoka cheo cha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) na kuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP).
Waliopandishwa vyeo hivyo ni kama ifuatavyo;
Fortunatus Media Musilimu
Goyayi Mabula Goyayi
Gabriel Joseph Mukungu
Ally Omary Ally
Edward Selestine Bukombe
Sifael Anase Mkonyi
Naftari J. Mantamba
Onesmo Manase Lyanga
Paul Tresphory Kasabago
Dadid Mshahara Hiza
Robert Mayala
Lazaro Benedict Mambosasa
Camilius M. Wambura
Mihayo Kagoro Msikhela
Ramadhani Athumani Mungi
Henry Mwaibambe Sikoki
Renata Michael Mzinga
Suzan Salome Kaganda
Neema M. Mwanga
Mponjoli Lotson
Benedict Michael Wakulyamba
Wilbroad William Mtafungwa
Gemini Sebastian Mushi
Peter Charles Kakamba
Ramadhan Ng'anzi Hassan
Christopher Cyprian Fuime
Charles Philip Ulaya
Gilles Bilabaye Muroto
Mwamini Marco Lwantale
Allute Yusufu Makita
Kheriyangu Mgeni Khamis
Nassor Ali Mohammed
Salehe Mohamed Salehe
Mohamed Sheikhan Mohamed
Maafisa hawa wa Jeshi la Polisi Tanzania wamepandishwa vyeo kuanzia tarehe 15 Julai, 2016.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni